Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 27:38 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

38 Ndipo wanyangʼanyi wawili wakasulibiwa pamoja nae, mmoja mkono wake wa kuume, na mmoja mkono wake wa kushoto.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Wanyanganyi wawili walisulubiwa pia pamoja naye, mmoja upande wa kushoto na mwingine upande wa kulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Wanyanganyi wawili walisulubiwa pia pamoja naye, mmoja upande wa kushoto na mwingine upande wa kulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Wanyang'anyi wawili walisulubiwa pia pamoja naye, mmoja upande wa kushoto na mwingine upande wa kulia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Wanyang’anyi wawili walisulubiwa pamoja naye, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wa kushoto.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Wanyang’anyi wawili walisulubiwa pamoja naye, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wa kushoto.

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:38
10 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaweka juu ya kichwa chake mshitaka wake, ulioandikwa, HUYU NI YESU, MFALME WA WAYAHUDI.


Nao waliokuwa wakipita njiani wakamtukana, wakitikisatikisa vichwa vyao,


Vilevile wa ayangʼanyi nao waliosulibiwa pamoja nae walimshutumu.


Na pamoja nae walisulibi wanyangʼanyi wawili, mmoja mkono wake wa kuume na mmoja mkono wake wa kushoto.


Kwa maana nawaambieni, Hili lililoandikwa halina buddi kutimizwa kwangu, Alihesabiwa pamoja na maasi; kwa maana linipasalo lina mwisho.


wakamsulibisha huko, na wengine wawili pamoja nae, huko na huko, na Yesu katikati.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo