Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 27:35 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

35 Walipokwisha kumsulibi, wakagawa nguo zake, wakipiga kura: illi litimie neno lililonenwa na nabii. Waligawa nguo zangu kati yao, na juu ya vazi langu walipiga kura.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Walimsulubisha, kisha wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Walimsulubisha, kisha wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Walimsulubisha, kisha wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Walipokwisha kumsulubisha, wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura. [Hili lilifanyika ili litimie neno lililonenwa na nabii, “Waligawa nguo zangu miongoni mwao na vazi langu wakalipigia kura.”]

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Walipokwisha kumsulubisha wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura. [Hili lilifanyika ili litimie lile neno lililonenwa na nabii, “Waligawa nguo zangu miongoni mwao na vazi langu wakalipigia kura.”]

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:35
10 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akasema, Baba, uwasamehe, kwa maana hawajui watendalo. Wakagawanya nguo zake, wakipiga kura.


Akiisha kusema haya, akawaonyesha mikono yake na ubavu wake. Bassi wanafunzi wakafurahi walipomwona Bwana.


Bassi wanafunzi wengine wakamwambia, Tumemwona Bwana. Akawaambia, Nisipoona mikononi mwake alama za misumari, na kutia kidole changu katika alama za misumari, na kutia mkono wangu uhavuni mwake, sitaamini kabisa.


Akiisha akamwambia Tomaso, Lete hapa kidole chako, ukatazame mikono yangu; kalete mkono wako, uutie katika ubavu wangu; wala nsiwe asiyeamini, bali aaminiye.


mtu huyu alitwaliwa nanyi kwa shauri la Mungu lililokusudiwa, na kwa kujua kwake taugu zamani, nanyi mkamsulibisha kwa mikono mibaya, mkamwua:


jueni ninyi nyote na watu wote wa Israeli ya kuwa kwa jina la Yesu Mnazareti, ambae ninyi mlimsulibisha, Mungu akamfufua, kwa jina hilo mtu huyu anasimama mzima mbele yenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo