Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 27:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

31 Walipokwisha kumfanyia dhihaka, wakalivua lile vazi, wakamvika nguo zake, wakamchukua kumsulibi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Baada ya kumdhihaki, wakamvua lile joho, wakamvika nguo zake, kisha wakampeleka kumsulubisha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Baada ya kumdhihaki, wakamvua lile joho, wakamvika nguo zake, kisha wakampeleka kumsulubisha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Baada ya kumdhihaki, wakamvua lile joho, wakamvika nguo zake, kisha wakampeleka kumsulubisha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Baada ya kumdhihaki, wakamvua lile joho, wakamvika tena nguo zake. Kisha wakampeleka ili wakamsulubishe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Baada ya kumdhihaki, wakamvua lile joho, wakamvika tena nguo zake. Kisha wakampeleka ili wakamsulubishe.

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:31
12 Marejeleo ya Msalaba  

na watampeleka kwa Mataifa wapate kumdhihaki, na kumpiga mijeledi, na kumsulibi; na siku ya tatu atafufuka.


Wakamkamata, wakamtupa uje ya shamba la mizabibu, wakamwua.


Mwajua ya kuwa baada ya siku mbili itakuwa pasaka, na Mwana wa Adamu atasalitiwa apate kusulibiwa.


Hatta wakiisha kumdhihaki, wakamvua lile vazi jekundu, wakamvika nguo zake mwenyewe; wakamchukua nje wamsulibishe.


Bassi ndipo akamtia mikononi mwao asulibishwe. Bassi wakampokea Yesu:


Baadae akamwambia mwanafunzi, Tazama, mama yako. Na tangu saa ile mwanafunzi yule akamchukua kwake.


wakamtoa nje ya mji, wakampiga mawe. Nao mashahidi wakaweka nguo zao miguuni pa kijana mmoja aliyekwitwa Saul.


Kwa ajili hii Yesu nae, illi awatakase watu wake kwa damu yake miwenyewe, alitesyia nje ya mlango.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo