Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 27:30 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

30 Wakamtemea mate, wakautwaa ule unyasi, wakampiga kichwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Wakamtemea mate, wakauchukua ule mwanzi, wakampiga nao kichwani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Wakamtemea mate, wakauchukua ule mwanzi, wakampiga nao kichwani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Wakamtemea mate, wakauchukua ule mwanzi, wakampiga nao kichwani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Wakamtemea mate, wakachukua ile fimbo wakampiga kichwani tena na tena.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Wakamtemea mate, wakachukua ile fimbo wakampiga kichwani tena na tena.

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:30
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo wakamtemea mate va uso, wakampiga konde; wengine wakampiga makofi,


na watamhukumu afe, watamtia mikononi mwa mataifa, nao watamdhihaki, na kumpiga mijeledi, na kumtemea mate, na kumwua: na siku ya tatu atafufuka.


Wengine wakaanza kumtemea mate, na kumfunika uso, na kumpiga konde, na kumwambia, Fanya unabii. Watumishi wakampiga makofi.


Wakampiga kichwa kwa unyasi, wakamtemea mate, wakapiga magoti, wakamsujudu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo