Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 27:29 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

29 Wakasokota taji ya miiba, wakaiweka juu ya kichwa chake, na unyasi katika mkono wake wa kuume; wakapiga magoti mbele yake, wakamfanyizia dhihaka, wakinena, Salamu, Mfalme wa Wayahudi!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Kisha wakasokota taji ya miiba, wakamvika kichwani, wakamwekea pia mwanzi katika mkono wake wa kulia. Wakapiga magoti mbele yake, wakamdhihaki wakisema, “Shikamoo mfalme wa Wayahudi!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Kisha wakasokota taji ya miiba, wakamvika kichwani, wakamwekea pia mwanzi katika mkono wake wa kulia. Wakapiga magoti mbele yake, wakamdhihaki wakisema, “Shikamoo mfalme wa Wayahudi!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Kisha wakasokota taji ya miiba, wakamvika kichwani, wakamwekea pia mwanzi katika mkono wake wa kulia. Wakapiga magoti mbele yake, wakamdhihaki wakisema, “Shikamoo mfalme wa Wayahudi!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 wakasokota taji la miiba, wakaiweka kichwani pake. Wakamwekea fimbo katika mkono wake wa kuume, na wakapiga magoti mbele zake na kumdhihaki, wakisema, “Salamu, mfalme wa Wayahudi!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 wakasokota taji ya miiba, wakaiweka kichwani pake. Wakamwekea fimbo katika mkono wake wa kuume, na wakapiga magoti mbele zake na kumdhihaki, wakisema, “Salamu, mfalme wa Wayahudi!”

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:29
14 Marejeleo ya Msalaba  

na watampeleka kwa Mataifa wapate kumdhihaki, na kumpiga mijeledi, na kumsulibi; na siku ya tatu atafufuka.


Marra akamwendea Yesu, akasema, Salam, Rabbi, akambusu sana.


Wakaweka juu ya kichwa chake mshitaka wake, ulioandikwa, HUYU NI YESU, MFALME WA WAYAHUDI.


Wakamvika vazi jekundu, wakasokota taji ya miiba, wakamtia kichwani;


wakaanza kumsalimu, Salamu Mfalme wa Wayahudi!


Tufuate:

Matangazo


Matangazo