Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 27:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

23 Liwali akasema, Kwani? ubaya gani alioutenda? Wakazidi sana kupiga kelele, wakinena, Asulibiwe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Pilato akauliza, “Kwa nini? Amefanya ubaya gani?” Wao wakazidi kupaza sauti: “Asulubiwe!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Pilato akauliza, “Kwa nini? Amefanya ubaya gani?” Wao wakazidi kupaza sauti: “Asulubiwe!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Pilato akauliza, “Kwa nini? Amefanya ubaya gani?” Wao wakazidi kupaza sauti: “Asulubiwe!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Pilato akauliza, “Kwa nini? Amefanya kosa gani?” Lakini wao wakazidi kupiga kelele, wakisema, “Msulubishe!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Pilato akauliza, “Kwa nini? Amefanya kosa gani?” Lakini wao wakazidi kupiga kelele, wakisema, “Msulubishe!”

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:23
16 Marejeleo ya Msalaba  

Pilato akawaambia, Bassi, nimtendeni Yesu aitwae Kristo? Wakanena wote, Asulibiwe.


Pilato alipoona ya kuwa hafai neno, bali ya kuwa inazidi kuwa ghasia, akatwaa maji, akanawa mikono yake mbele ya makutano, akasema, Mimi sina khatiya kwa khabari ya damu ya mtu huyu mwenye haki: tazameni hayo ninyi wenyewe.


Pilato akawaambia makuhani wakuu na makutano, Mimi sioni khatiya yo yote katika mtu huyu.


Na wasipopata sababu ya kumfisha wakamwomba Pilato auawe.


Ugomvi mkubwa ulipotokea, yule jemadari akachelea Paolo asije akararuliwa nao, akaamuru askari washuke na kumpokonya mikononi mwao, na kumleta ndani ya ngome.


Wakapiga kelele kwa sauti kuu, wakaziba masikio yao, wakamrukia kwa nia moja,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo