Mathayo 27:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192123 Liwali akasema, Kwani? ubaya gani alioutenda? Wakazidi sana kupiga kelele, wakinena, Asulibiwe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Pilato akauliza, “Kwa nini? Amefanya ubaya gani?” Wao wakazidi kupaza sauti: “Asulubiwe!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Pilato akauliza, “Kwa nini? Amefanya ubaya gani?” Wao wakazidi kupaza sauti: “Asulubiwe!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Pilato akauliza, “Kwa nini? Amefanya ubaya gani?” Wao wakazidi kupaza sauti: “Asulubiwe!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 Pilato akauliza, “Kwa nini? Amefanya kosa gani?” Lakini wao wakazidi kupiga kelele, wakisema, “Msulubishe!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 Pilato akauliza, “Kwa nini? Amefanya kosa gani?” Lakini wao wakazidi kupiga kelele, wakisema, “Msulubishe!” Tazama sura |