Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 27:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

17 Bassi walipokutanika, Pilato akawaambia, Mnataka niwafungulie nani? Barabba, au Yesu aitwae Kristo?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Hivyo, watu walipokusanyika pamoja, Pilato akawauliza, “Mwataka nimfungue yupi kati ya wawili hawa, Baraba ama Yesu aitwaye Kristo?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Hivyo, watu walipokusanyika pamoja, Pilato akawauliza, “Mwataka nimfungue yupi kati ya wawili hawa, Baraba ama Yesu aitwaye Kristo?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Hivyo, watu walipokusanyika pamoja, Pilato akawauliza, “Mwataka nimfungue yupi kati ya wawili hawa, Baraba ama Yesu aitwaye Kristo?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Hivyo umati wa watu walipokusanyika, Pilato akawauliza hao watu, “Mnataka niwafungulie yupi: Baraba au Isa aitwaye Al-Masihi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Hivyo umati wa watu walipokusanyika, Pilato akawauliza, “Mnataka niwafungulie nani, Baraba au Isa yeye aitwaye Al-Masihi?”

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:17
9 Marejeleo ya Msalaba  

Yakob akamzaa Yusuf mumewe Mariamu aliyemzaa YESU aitwae Kristo.


Bassi walikuwa na mfungwa mashuhuri siku zile, jina lake Barabba.


Kwa maana alijua ya kuwa wamemtoa kwa husuda.


Bassi wale wakapiga kelele, Mwondoshe, mwondoshe, msulibishe. Pilato akawaambia, Nimsulibishe mfalme wenu? Makuhani wakuu wakajibu, Hatuna mfalme illa Kaisari.


Yule mwanamke akamwambia, Najua ya kuwa yuaja Masihi (aitwae Kristo). Atakapokuja yeye, atatufunulia yote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo