Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 27:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

16 Bassi walikuwa na mfungwa mashuhuri siku zile, jina lake Barabba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Wakati huo kulikuwa na mfungwa aliyejulikana sana, jina lake Baraba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Wakati huo kulikuwa na mfungwa aliyejulikana sana, jina lake Baraba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Wakati huo kulikuwa na mfungwa aliyejulikana sana, jina lake Baraba.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Palikuwa na mfungwa mmoja mwenye sifa mbaya, aliyeitwa Baraba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Wakati huo alikuwepo mfungwa mmoja mwenye sifa mbaya, aliyeitwa Baraba.

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:16
9 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi wakati wa siku kuu liwali desturi yake huwafungulia makutano mfungwa mmoja waliyemtaka.


Bassi walipokutanika, Pilato akawaambia, Mnataka niwafungulie nani? Barabba, au Yesu aitwae Kristo?


Palikuwa na mtu aitwae Barabba, amefungwa pamoja na watu waliofanya fitina na kufanya uuaji katika fitina.


Akamfungua yeye aliyetiwa gerezani kwa fitina na uuaji, waliyemtaka: akatoa Yesu kwa mapenzi yao.


Bassi wakapiga kelele marra ya pili, wote pia, wakinena, Si huyu, bali Barabba. Nae Barabba alikuwa mnyangʼanyi.


Ninyi mlimkana yule Mtakatifu, yule Mwenye haki, mkataka mpewe muuaji:


ambao wakijua sana hukumu ya haki ya Mungu, ya kwamba wayatendao haya wamestahili mauti, wanafanya haya, wala si hivyotu, bali wakubaliana nao wayatendao.


Nisalimieni Androniko na Junia; jamaa zangu, waliofungwa pamoja nami, walio maarufu katika mitume; nao walikuwa katika Kristo kabla yangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo