Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 27:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 Bassi wakati wa siku kuu liwali desturi yake huwafungulia makutano mfungwa mmoja waliyemtaka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Ilikuwa kawaida wakati wa sikukuu ya Pasaka mkuu wa mkoa kuwafungulia Wayahudi mfungwa mmoja waliyemtaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Ilikuwa kawaida wakati wa sikukuu ya Pasaka mkuu wa mkoa kuwafungulia Wayahudi mfungwa mmoja waliyemtaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Ilikuwa kawaida wakati wa sikukuu ya Pasaka mkuu wa mkoa kuwafungulia Wayahudi mfungwa mmoja waliyemtaka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Basi ilikuwa ni desturi ya mtawala kumfungua mfungwa mmoja aliyechaguliwa na umati wa watu wakati wa sikukuu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Basi ilikuwa ni desturi ya mtawala kumfungua mfungwa mmoja aliyechaguliwa na umati wa watu wakati wa sikukuu.

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:15
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wakanena, Sio wakati wa siku kuu, isije ikatokea ghasia katika watu.


Bassi walikuwa na mfungwa mashuhuri siku zile, jina lake Barabba.


Bassi nikiisha kumrudi, nitamfungua.


Maana ilimlazimu kuwafungulia mmoja wakati wa siku kuu.


Wakapiga kelele wote pamoja, wakisema, Mchukue huyu, tufungulie Barabba.


Bassi yule mwanafunzi mwingine aliyejulika na kuhani mkuu akatoka akasema na mwanamke aliye mngoje mlango, akamleta Petro ndani.


Bassi ndipo akamtia mikononi mwao asulibishwe. Bassi wakampokea Yesu:


Na miaka miwili ilipotimia. Feliki akampokea Porkio Festo atawale badala yake. Na Feliki, akitaka kuwafanyia Wayahudi fadhili, akamwacha Paolo amefungwa.


Lakini Festo akitaka kujipendekeza kwa Wayahudi akamjibu Paolo, akisema, Wataka kwenda Yerusalemi, ukahukumiwe huko mbele yangu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo