Mathayo 27:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192113 Ndipo Pilato akamwambia, Husikii mambo mangapi wanayokushuhudia? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Hivyo Pilato akamwuliza, “Je, husikii mashtaka hayo yote wanayotoa juu yako?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Hivyo Pilato akamwuliza, “Je, husikii mashtaka hayo yote wanayotoa juu yako?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Hivyo Pilato akamwuliza, “Je, husikii mashtaka hayo yote wanayotoa juu yako?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Ndipo Pilato akamuuliza, “Je, husikii ni mambo mangapi wanayokushtaki nayo?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Ndipo Pilato akamuuliza, “Je, husikii ni mambo mangapi wanayokushtaki nayo?” Tazama sura |