Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 27:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Aliposhitakiwa na makuhani wakuu na wazee, hakujibu hatta neno.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Lakini makuhani wakuu na wazee walipokuwa wanamshtaki, hakujibu neno.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Lakini makuhani wakuu na wazee walipokuwa wanamshtaki, hakujibu neno.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Lakini makuhani wakuu na wazee walipokuwa wanamshtaki, hakujibu neno.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Lakini viongozi wa makuhani na wazee walipomshtaki, hakujibu neno.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Lakini viongozi wa makuhani na wazee walipomshtaki, hakujibu neno.

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:12
10 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Yesu akanyamaza. Kuhani mkuu akamjihu, akamwambia, Nakuapisha Mungu aliye hayi, utuambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu.


Ndipo Pilato akamwambia, Husikii mambo mangapi wanayokushuhudia?


Nae hakumjibu hatta kwa neno moja, hatta liwali akataajabu sana.


Akamwuliza kwa maneno mengi, yeye asimjibu lo lote.


Na fungu la Maandiko alilokuwa akilisoma ni hili: Alichukuliwa kwenda machinjoni kama kondoo, Na kama vile mwana kondoo asivyolia mbele yake amkatae manyoya, Vivyo hivyo yeve nae hafunui kinywa chake.


yeye alipotukanwa, hakurudisha matukano; alipoteswa hakuogofya; bali alijikabidhi kwake yeye ahukumuye kwa haki;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo