Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 26:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 Maana marhamu hii ingaliweza kuuzwa kwa fedha nyingi wakapewa maskini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Marashi haya yangaliweza kuuzwa kwa bei kubwa, maskini wakapewa hizo fedha.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Marashi haya yangaliweza kuuzwa kwa bei kubwa, maskini wakapewa hizo fedha.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Marashi haya yangaliweza kuuzwa kwa bei kubwa, maskini wakapewa hizo fedha.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Manukato haya yangeuzwa kwa bei kubwa, na fedha hizo wakapewa maskini.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Manukato haya yangeuzwa kwa bei kubwa, na fedha hizo wakapewa maskini.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akijua akawaambia, Mbona mnamtaabisha mwanamke? Maana ni kazi njema aliyonitendea mimi.


Wanafunzi wake walipoona, wakachukiwa, wakinena, Ya nini upotevu huu?


maana marhamu hii ingalikuzwa kwa dinari mia tatu na kuzidi wakapewa maskini. Wakamnungʼunikia sana yule mwanamke.


walioiacha njia iliyonyoka, wakapotea, wakiifuata njia ya Balaam, mwana wa Bosor, aliyependa ujira wa ndhalimu:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo