Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 26:70 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

70 Akakana mbele ya wote, akinena, Sijui unenalo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

70 Petro akakana mbele ya wote akisema, “Sijui hata unasema nini.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

70 Petro akakana mbele ya wote akisema, “Sijui hata unasema nini.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

70 Petro akakana mbele ya wote akisema, “Sijui hata unasema nini.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

70 Lakini Petro akakana mbele yao wote akisema, “Sijui hilo usemalo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

70 Lakini Petro akakana mbele yao wote akisema, “Sijui hilo usemalo.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:70
17 Marejeleo ya Msalaba  

Mmoja wao waliokuwa pamoja na Yesu akanyosha mkono wake, akaufuta upanga wake, akampiga mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio.


Lakini jambo hili lote limekuwa, illi maandiko ya manabii yatimizwe. Ndipo wanafunzi wake wote wakamwacha, wakakimbia.


Na Petro akamfuata kwa mbali hatta behewa ya kuhani mkuu, akaingia ndani, akaketi pamoja na watumishi, auone mwisho.


Na Petro alikuwa ameketi nje behewani: kijakazi kimoja akamwendea, akanena, Wewe nawe ulikuwa pamoja na Yesu wa Galilaya.


Alipotoka nje hatta ukumbini, mwanamke mwingine akamwona, akawaambia watu waliokuwa huko, Na huyu nae alikuwa pamoja na Yesu Mnazareti.


Akakana, akisema, Mwanamke, simjui.


Marra haba. Yalikatiwa kwa kutokuamini kwao, na wewe wasimama kwa imani yako. Usijivune bali uogope;


Bassi anaejidhani amesimama aangalie asianguke.


Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, nae waabuduo sanamu, na wawongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndio mauti ya pili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo