Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 26:67 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

67 Ndipo wakamtemea mate va uso, wakampiga konde; wengine wakampiga makofi,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

67 Kisha wakamtemea mate usoni, wakampiga makofi. Wengine wakiwa wanampiga makofi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

67 Kisha wakamtemea mate usoni, wakampiga makofi. Wengine wakiwa wanampiga makofi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

67 Kisha wakamtemea mate usoni, wakampiga makofi. Wengine wakiwa wanampiga makofi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

67 Kisha wakamtemea mate usoni na wengine wakampiga ngumi. Wengine wakampiga makofi

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

67 Kisha wakamtemea mate usoni na wengine wakampiga ngumi. Wengine wakampiga makofi

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:67
24 Marejeleo ya Msalaba  

wakinena, Ee Kristo, ni nani aliyekupiga?


Wakamtemea mate, wakautwaa ule unyasi, wakampiga kichwa.


bali mimi nawaambieni, Msishindane na mtu mwovu; bali mtu akupigae shavu la kuume, mgeuzie na la pili.


na watamhukumu afe, watamtia mikononi mwa mataifa, nao watamdhihaki, na kumpiga mijeledi, na kumtemea mate, na kumwua: na siku ya tatu atafufuka.


Wengine wakaanza kumtemea mate, na kumfunika uso, na kumpiga konde, na kumwambia, Fanya unabii. Watumishi wakampiga makofi.


Wakampiga kichwa kwa unyasi, wakamtemea mate, wakapiga magoti, wakamsujudu.


Aliposema maneno haya, mmoja wa wale watumishi aliyesimama karibu akampiga Yesu koli, akinena, Wamjibu hivi kuhani mkuu?


wakisema, Salamu, Mfalme wa Wayahudi! wakimpiga makofi.


tukisingiziwa twasihi: tumefanywa kama takataka za dunia, na kifusi cha vitu vyote hatta sasa.


tukimtazama Yesu, aliveianzisha imani yetu na kuitimiliza; ambae kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele zake aliuvumilia msalaba na kuidharau aibu, nae ameketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo