Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 26:61 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

61 Baadae mashahidi wa uwongo wawili wakatokea wakasema, Huyu alisema, Naweza kulivunja hekalu ya Mungu, na kuijenga kwa siku tatu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

61 wakasema, “Mtu huyu alisema: ‘Ninaweza kuliharibu hekalu la Mungu na kulijenga tena kwa siku tatu.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

61 wakasema, “Mtu huyu alisema: ‘Ninaweza kuliharibu hekalu la Mungu na kulijenga tena kwa siku tatu.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

61 wakasema, “Mtu huyu alisema: ‘Ninaweza kuliharibu hekalu la Mungu na kulijenga tena kwa siku tatu.’”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

61 na kusema, “Huyu mtu alisema, ‘Ninaweza kulivunja Hekalu la Mungu na kulijenga tena kwa siku tatu.’ ”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

61 na kusema, “Huyu mtu alisema, ‘Ninaweza kulivunja Hekalu la Mungu na kulijenga tena kwa siku tatu.’ ”

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:61
22 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Mafarisayo waliposikia, wakasema, Huyu hafukuzi pepo, illa kwa uweza wa Beelzebul mkuu wa pepo.


Kuhani mkuu akasimama akamwambia, Hujibu neno? Hawa wanakushuhudiani?


Alipotoka nje hatta ukumbini, mwanamke mwingine akamwona, akawaambia watu waliokuwa huko, Na huyu nae alikuwa pamoja na Yesu Mnazareti.


wakinena, Ewe ulivunjae hekalu na kuijenga kwa siku tatu, jiponye nafsi yako; ukiwa Mwana wa Mungu, shuka msalahani.


Akavitupa vile vipande vya fedha katika patakatifu, akaondoka; akaenda, akajinyonga.


Sisi twalimsikia akiseina, Mimi nitaivunja hekalu hii iliyofanyika kwa mikono, na kwa siku tatu nitajenga ingine isiyofanyika kwa mikono;


Nao waliopita wakamtukana, wakitikisatikisa vichwa vyao, wakisema, Ah! wewe mwenye kulivunja hekalu na kulijenga kwa siku tatu,


Wakaanza kumshitaki, wakisema, Tumemwona mtu huyu amipotosha taifa letu, anawakataza watu wasimpe Kaisari kodi, akisema ya kwamba yeye mwenyewe yu Kristo, mfalme.


Sisi twajua ya kuwa Mungu alisema na Musa, bali huyo hatujui atokako.


Na baadhi ya Waepikurio na Wastoiko, matilosofo, wakakutana nae. Wengine wakasema, Mtu huyu mwenye maneno mengi anataka kusema nini? Wengine walisema, Anaonekana kuwa mtangaza khabari za miungu migeni, kwa maana alikuwa akikhubiri khabari za Yesu na ufufuo.


wakisema, Mtu huyu huwavuta watu illi wamwabudu Mungu kinyume cha sharia yetu.


Wakamsikiliza mpaka neno lile, wakapaaza sauti zao, wakisema, Mwondoe huyu katika inchi, kwa maana haifai aishi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo