Mathayo 26:56 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192156 Lakini jambo hili lote limekuwa, illi maandiko ya manabii yatimizwe. Ndipo wanafunzi wake wote wakamwacha, wakakimbia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema56 Lakini haya yote yametendeka ili maandiko ya manabii yatimie.” Kisha wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND56 Lakini haya yote yametendeka ili maandiko ya manabii yatimie.” Kisha wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza56 Lakini haya yote yametendeka ili maandiko ya manabii yatimie.” Kisha wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu56 Lakini haya yote yametukia ili maandiko ya manabii yapate kutimia.” Ndipo wanafunzi wake wote wakamwacha na kukimbia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu56 Lakini haya yote yametukia ili maandiko ya manabii yapate kutimia.” Ndipo wanafunzi wake wote wakamwacha na kukimbia. Tazama sura |