Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 26:54 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

54 Yatatimizwaje bassi maandiko, kwamba hivyo ndivyo vilivyopasa kuwa?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

54 Lakini yatatimiaje Maandiko Matakatifu yasemayo kwamba ndivyo inavyopaswa kuwa?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

54 Lakini yatatimiaje Maandiko Matakatifu yasemayo kwamba ndivyo inavyopaswa kuwa?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

54 Lakini yatatimiaje Maandiko Matakatifu yasemayo kwamba ndivyo inavyopaswa kuwa?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

54 Lakini je, yale Maandiko yanayotabiri kwamba ni lazima itendeke hivi yatatimiaje?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

54 Lakini je, yale Maandiko yanayotabiri kwamba ni lazima itendeke hivi yatatimiaje?”

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:54
11 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akawaambia, Hamkupata kusoma katika maandiko, Jiwe walilolikataa waashi, Hili lilikuwa jiwe kuu la pembeni; Neno hili limetoka kwa Bwana, Nalo ni ajabu machoni petu?


Mwana wa Adamu aenda zake, kama alivyoandikiwa: lakini ole wake mtu yule ambae Mwana wa Adamu anasalitiwa nae! Ingekuwa kheri kwake mtu yule kama asingalizaliwa.


Ikiwa aliwaita wale miungu waliojiliwa na neno la Mungu (na maandiko hayawezi kutanguka),


Ndugu imepasa andiko litimizwe, alilolinena Roho Mtakatifu zamani kwa kinywa cha Daud, katika khabari za Yuda, aliyekuwa kiongozi wao waliomkamata Yesu: kwa sababu alikuwa amehesabiwa pamoja na sisi,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo