Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 26:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Wakanena, Sio wakati wa siku kuu, isije ikatokea ghasia katika watu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Lakini wakaamua jambo hilo lisifanyike wakati wa sikukuu, kusije kukatokea ghasia kati ya watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Lakini wakaamua jambo hilo lisifanyike wakati wa sikukuu, kusije kukatokea ghasia kati ya watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Lakini wakaamua jambo hilo lisifanyike wakati wa sikukuu, kusije kukatokea ghasia kati ya watu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Lakini wakasema, “Isiwe wakati wa Sikukuu, kusitokee ghasia miongoni mwa watu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Lakini wakasema, “Isiwe wakati wa Sikukuu, kusitokee ghasia miongoni mwa watu.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:5
17 Marejeleo ya Msalaba  

Na alipotaka kumwua, aliwaogopa watu, maana walimwona kuwa nabii.


Na tukisema, Kwa wana Adamu; twaogopa makutano; maana watu wote wanaona ya kuwa Yohana ni nabii.


Pilato alipoona ya kuwa hafai neno, bali ya kuwa inazidi kuwa ghasia, akatwaa maji, akanawa mikono yake mbele ya makutano, akasema, Mimi sina khatiya kwa khabari ya damu ya mtu huyu mwenye haki: tazameni hayo ninyi wenyewe.


Hatta siku ya kwanza ya mikate isiyochachwa, walipoichinja Pasaka, wanafunzi wake wakamwambia, Wapi unataka tuende tukaandalie uile pasaka?


Kwa maana walisema, Sio wakati wa siku kuu, isije ikawa fitina katika watu.


Na Yesu akawaambia, Mtachukizwa nyote kwa ajili yangu nsiku huu: kwa kuwa imeandikwa, Nitampiga mchunga, na kondoo watatawanyika.


Bali tukisema, Kwa wana Adamu, watu wote watatupiga mawe: kwa sababu wamesadiki ya kuwa Yohana ni nabii.


Ikawadia siku ya mikate isiyochachwa, ilipopasa kuchinja pasaka.


Bassi wakamchukua Yesu kutoka kwa Kayafa hatta Praitorio; ikawa alfajiri; lakini wao wenyewe hawakuingia ndani ya Praitorio, wasije wakatiwa najis, bali waile Pasaka.


Mji wote ukajaa ghasia, wakaenda mbio wakaingia theatro kwa moyo mmoja, wakiisha kuwakamata Gaio na Aristarko, watu wa Makedonia waliosafiri pamoja na Paolo.


Wewe si vnle Mmisri ambae kabla ya siku hizi aliwafitinisha wale watu elfu nne, walioitwa Wauaji, akawaongoza jangwani?


illi wafanye yote ambayo mkono wako na mashauri yako yamekusudia tangu zamani yatokee.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo