Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 26:48 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

48 Na yeye anaemsaliti amewapa ishara, akinena, Nitakaembusu, ndiye; mkamateni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

48 Huyo aliyetaka kumsaliti Yesu, alikuwa amekwisha kuwapa ishara akisema: “Yule nitakayembusu ndiye; mkamateni.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

48 Huyo aliyetaka kumsaliti Yesu, alikuwa amekwisha kuwapa ishara akisema: “Yule nitakayembusu ndiye; mkamateni.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

48 Huyo aliyetaka kumsaliti Yesu, alikuwa amekwisha kuwapa ishara akisema: “Yule nitakayembusu ndiye; mkamateni.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

48 Basi msaliti alikuwa amewapa hao watu ishara, kwamba: “Yule nitakayembusu ndiye. Mkamateni.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

48 Basi msaliti alikuwa amewapa hao watu ishara, kwamba: “Yule nitakayembusu ndiye. Mkamateni.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:48
7 Marejeleo ya Msalaba  

Hatta alipokuwa akisema, Yuda, mmoja wa wale thenashara akaja, na pamoja nae makutano mengi, wana panga na marungu, wametoka kwa makuhani wakuu na wazee wa watu.


Marra akamwendea Yesu, akasema, Salam, Rabbi, akambusu sana.


Na yeye anaemsaliti amewapa ishara, akisema, Nitakaembusu, ndiye; mkamateni, mehukueni salama.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo