Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 26:44 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

44 Akawaacha tena, akaenda akaomba marra ya tatu, akisema maneno yaleyale.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

44 Basi, akawaacha, akaenda tena kusali mara ya tatu kwa maneno yaleyale.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

44 Basi, akawaacha, akaenda tena kusali mara ya tatu kwa maneno yaleyale.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

44 Basi, akawaacha, akaenda tena kusali mara ya tatu kwa maneno yaleyale.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

44 Hivyo akawaacha akaenda zake tena mara ya tatu na kuomba akisema maneno yale yale.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

44 Hivyo akawaacha akaenda zake tena mara ya tatu na kuomba akisema maneno yale yale.

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:44
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akaenda, akawakuta wamelala tena; maana macho yao yalikuwa mazito.


Khalafu akawaendea wanafunzi wake, akawaambia, Laleni sasa hatta mwisho, kapumzikeni: saa imekaribia, na Mwana wa Adamu anatiwa katika mikono ya wenye dbambi.


Mkiwa katika kusali, msipayukepayuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.


AKAWAAMBIA na mfano ya kama imewapasa kumwomba Mungu siku zote wala wasikate tamaa,


Kwa ajili ya kitu hiki nalimsihi Bwaua marra tatu kinitoke.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo