Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 26:43 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

43 Akaenda, akawakuta wamelala tena; maana macho yao yalikuwa mazito.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

43 Akawaendea tena, akawakuta wamelala, maana macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

43 Akawaendea tena, akawakuta wamelala, maana macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

43 Akawaendea tena, akawakuta wamelala, maana macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

43 Aliporudi, akawakuta tena wamelala kwa sababu macho yao yalikuwa mazito.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

43 Aliporudi, akawakuta tena wamelala kwa sababu macho yao yalikuwa mazito.

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:43
8 Marejeleo ya Msalaba  

Akaenda tena marra ya pili, akaomba, akinena, Baba yangu, ikiwa haiwezekani kikombe hiki kinipitie nisipokinywa, bassi, mapenzi yako yafanyike.


Akawaacha tena, akaenda akaomba marra ya tatu, akisema maneno yaleyale.


Petro, nao waliokuwa pamoja nae, walikuwa wamelemewa sana na usingizi: lakini walipokwisha kuamka wakauona utukufu wake, na wale watu wawili, waliosimama pamoja nae.


Kijana mmoja, jina lake Eutuko, ameketi dirishani, akalemewa na usingizi, akaanguka toka orofa ya tatu: akainuliwa amekwisha kufa.


KILLA nafsi itumikie mamlaka makuu; kwa maana hapana mamlaka yasiyotoka kwa Mungu: na mamlaka yaliyopo yameamriwa na Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo