Mathayo 26:37 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192137 Akamchukua Petro na wana wawili wa Zebedayo, akaanza kufadhaika, na kuhuzunika moyo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema37 Akawachukua Petro na wana wawili wa Zebedayo, akaanza kuwa na huzuni na mahangaiko. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND37 Akawachukua Petro na wana wawili wa Zebedayo, akaanza kuwa na huzuni na mahangaiko. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza37 Akawachukua Petro na wana wawili wa Zebedayo, akaanza kuwa na huzuni na mahangaiko. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu37 Akamchukua Petro pamoja na wale wana wawili wa Zebedayo, akaanza kuhuzunika na kufadhaika. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu37 Akamchukua Petro pamoja na wale wana wawili wa Zebedayo, akaanza kuhuzunika na kufadhaika. Tazama sura |