Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 26:32 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

32 Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitatangulia mbele yenu kwenda Galilaya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulieni Galilaya.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulieni Galilaya.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulieni Galilaya.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:32
13 Marejeleo ya Msalaba  

Toka wakati huo Yesu akaanza kuwaonya wanafunzi wake ya kwamba imempasa kwenda Yerusalemi, na kuteswa mengi na wazee na makuhani wakuu, na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka.


na watampeleka kwa Mataifa wapate kumdhihaki, na kumpiga mijeledi, na kumsulibi; na siku ya tatu atafufuka.


Petro akajibu, akamwambia, Wajapochukizwa wote kwa ajili yako, mimi sitachukizwa kabisa.


Yesu akawaambia, Msiogope: enendeni, mkawaambie ndugu zangu waemle Galilaya, ndiko watakakoniona.


Na wale wanafunzi edashara wakaenda Galilaya hatta mlima ule aliowaagiza Yesu.


Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.


Lakini enendeni zenu, mkawaambie wanafunzi wake, na Petro, ya kwamba awatangulia kwenda Galilaya: huko mtamwona, kama alivyowaambia.


baadae alionekana na ndugu zaidi ya khamsi mia pamoja; katika hao walio wengi wanaishi hatta sasa, wengine wamelala;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo