Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 26:30 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

30 Walipokwisha kuimba, wakatoka nje kwenda mlima wa Mizeituni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Baada ya kuimba wimbo, wakaondoka, wakaenda katika mlima wa Mizeituni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Baada ya kuimba wimbo, wakaondoka, wakaenda katika mlima wa Mizeituni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Baada ya kuimba wimbo, wakaondoka, wakaenda katika mlima wa Mizeituni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Walipokwisha kuimba wimbo, wakatoka wakaenda Mlima wa Mizeituni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Walipokwisha kuimba wimbo, wakatoka wakaenda Mlima wa Mizeituni.

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:30
11 Marejeleo ya Msalaba  

HATTA walipokaribia Yerusalemi, na kufika Bethfage, katika mlima wa Mizeituni, ndipo Yesu akatuma wanafunzi wawili,


Lakini nawaambieni, Sitakunywa kabisa tangu leo nzao huu wa mzabibu, hatta siku ile nitakapounywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.


Bassi killa siku alikuwa akifundisha hekaluni wakati wa mchana; na wakati wa usiku akitoka, na kulala katika mlima uitwao mlima wa mizeituni.


Bwana akasema, Simon, Simon, tazama, Shetani amewataka ninyi awapepete kama nganu:


Akatoka, akaenda zake hatta mlima wa mizeituni, kama ilivyo kawaida yake: wanafunzi wake wakamfuata.


lakini ulimwengu ujue ya kuwa nampenda Baba; na, kama Baba alivyoniamuru, ndivyo nifanyavyo. Ondokeni, tufoke huku.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo