Mathayo 26:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19213 Ndipo makubani wakuu, na waandishi, na wazee wa watu wakakusanyika katika behewa ya kuhani mkuu aliyeitwa Kayafa; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Wakati huo makuhani wakuu na wazee wa watu walikutana pamoja katika ukumbi wa Kayafa, kuhani mkuu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Wakati huo makuhani wakuu na wazee wa watu walikutana pamoja katika ukumbi wa Kayafa, kuhani mkuu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Wakati huo makuhani wakuu na wazee wa watu walikutana pamoja katika ukumbi wa Kayafa, kuhani mkuu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Basi viongozi wa makuhani na wazee wa watu wakakusanyika katika jumba la utawala la kuhani mkuu, jina lake Kayafa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Basi viongozi wa makuhani na wazee wa watu wakakusanyika katika jumba la utawala la kuhani mkuu, jina lake Kayafa. Tazama sura |