Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 26:25 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

25 Yuda, yule mwenye kumsaliti, akajibu, akasema, Ni mimi, Rabbi? Akamwambia, Wewe umesema.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Yuda, ambaye ndiye aliyetaka kumsaliti, akamwuliza, “Mwalimu! Je, ni mimi?” Yesu akamjibu, “Wewe umesema.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Yuda, ambaye ndiye aliyetaka kumsaliti, akamwuliza, “Mwalimu! Je, ni mimi?” Yesu akamjibu, “Wewe umesema.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Yuda, ambaye ndiye aliyetaka kumsaliti, akamwuliza, “Mwalimu! Je, ni mimi?” Yesu akamjibu, “Wewe umesema.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Kisha Yuda, yule mwenye kumsaliti, akasema, “Je, ni mimi Mwalimu?” Isa akajibu, “Naam, wewe mwenyewe umesema.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Kisha Yuda, yule mwenye kumsaliti, akasema, “Je, ni mimi Mwalimu?” Isa akajibu, “Naam, wewe mwenyewe umesema.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:25
11 Marejeleo ya Msalaba  

na kusalimiwa sokoni, na kuitwa na watu, Rabbi, Rabbi.


Bali ninyi nisiitwe Rabbi; maana mwalimu wenu yu mmoja ndiye Kristo, na ninyi nyote ni ndugu.


Kisha mmoja wa wale thenashara, jina lake Yuda Iskariote, alikwenda zake kwa makuhani wakuu,


Marra akamwendea Yesu, akasema, Salam, Rabbi, akambusu sana.


Yesu akamwambia. Wewe umesema: lakini nawaambieni, Tangu sasa mtamwoua Mwana wa Adamu ameketi mkono wa kuume wa nguvu, akija juu ya mawingu.


Yesu akasimama mbele ya liwali: liwali akamwuliza, akinena, Wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi? Yesu akamwambia, Wewe wanena.


Wakasema wote, Bassi, wewe ndiwe Mwana wa Mungu? Akawaambia, Ninyi mnasema kama mimi ndiye.


Bassi Pilato akamwambia, Wewe u mfalme bassi? Yesu akajibu, Wewe wanena ya kwamba mimi ni mfalme. Mimi nalizaliwa kwa ajili ya haya na kwa ajili ya haya nalikuja ulimwenguni, illi niishuhudie kweli. Killa aliye wa kweli hunisikia sauti yangu.


Huko nyuma wanafunzi wakamsihi wakisema, Rabbi, ule.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo