Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 26:22 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

22 Wakahuzunika sana, wakaanza kumwambia mmoja mmoja, Ni mimi, Bwana?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Wanafunzi wakahuzunika sana, wakaanza kuuliza mmojammoja, “Bwana! Je, ni mimi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Wanafunzi wakahuzunika sana, wakaanza kuuliza mmojammoja, “Bwana! Je, ni mimi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Wanafunzi wakahuzunika sana, wakaanza kuuliza mmojammoja, “Bwana! Je, ni mimi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Wakahuzunika sana, wakaanza kumuuliza mmoja baada ya mwingine, “Je, ni mimi Bwana?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Wakahuzunika sana, wakaanza kumuuliza mmoja baada ya mwingine, “Je, ni mimi Bwana?”

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:22
7 Marejeleo ya Msalaba  

Walipokuwa wakila, akasema, Amin, nawaambieni, Mmoja wenu atanisaliti.


Akajibu, akasema, Yeye aliyetia mkono wake pamoja nami katika sahani, ndiye atakaenisaliti.


Nao wakaanza kuulizana wao kwa wao, ni nani katika wao atakaetenda neno hili.


Akamwambia marra ya tatu, Simon wa Yohana, Wanipenda mimi? Petro akahuzunika kwa kuwa alimwambia marra ya tatu, Wanipenda mimi? Akamwambia, Bwana, wewe unajua yote; unajua ya kuwa nakupenda. Yesu amwambia, Lisha kondoo zangu.


Lakini mtu ajihoji nafsi yake, ndivyo aule mkate, na kukinywea kikombe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo