Mathayo 26:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192121 Walipokuwa wakila, akasema, Amin, nawaambieni, Mmoja wenu atanisaliti. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Walipokuwa wakila, Yesu akasema, “Nawaambieni kweli, mmoja wenu atanisaliti.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Walipokuwa wakila, Yesu akasema, “Nawaambieni kweli, mmoja wenu atanisaliti.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Walipokuwa wakila, Yesu akasema, “Nawaambieni kweli, mmoja wenu atanisaliti.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Nao walipokuwa wakila, Isa akasema, “Amin, nawaambia, mmoja wenu atanisaliti.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Nao walipokuwa wakila, Isa akasema, “Amin, nawaambia, mmoja wenu atanisaliti.” Tazama sura |