Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 26:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Mwajua ya kuwa baada ya siku mbili itakuwa pasaka, na Mwana wa Adamu atasalitiwa apate kusulibiwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 “Mnajua kwamba baada ya siku mbili tutakuwa na sikukuu ya Pasaka, na Mwana wa Mtu atatolewa ili asulubiwe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 “Mnajua kwamba baada ya siku mbili tutakuwa na sikukuu ya Pasaka, na Mwana wa Mtu atatolewa ili asulubiwe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 “Mnajua kwamba baada ya siku mbili tutakuwa na sikukuu ya Pasaka, na Mwana wa Mtu atatolewa ili asulubiwe.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 “Kama mnavyojua, baada ya siku mbili itakuwa Pasaka, naye Mwana wa Adamu atasalitiwa ili asulubiwe.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 “Kama mnavyojua, baada ya siku mbili itakuwa Pasaka, naye Mwana wa Adamu atasalitiwa ili asulubiwe.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:2
17 Marejeleo ya Msalaba  

Simon Kananayo, na Yuda Iskariote, ndiye aliyemsaliti.


Walipokuwa wakikaa Galilaya, Yesu akawaambia, Mwana wa Adamu karibu atatiwa mikononi mwa watu,


akinena, Nalikosa nilipoisaliti damu isiyo na khatiya. Wakanena, Bassi, haya yatukhussu nini sisi? Tazama wewe hayo.


Akawaambia, Nimetamani sana kula pasaka hii pamoja nanyi, kabla va kuteswa:


Na Pasaka ya Wayahudi ilikuwa karibu; wengi wakapanda toka inchi yote pia kwenda Yerusalemi kabla ya Pasaka, illi wajitakase.


BASSI Yesu siku sita kabla ya Pasaka akafika Bethania, hapo alipokuwapo Lazaro, yule aliyekufa akaihfuliwa nae.


Yuda nae, yule aliyetaka kumsaliti, alipajua mahali pale; kwa sababu Yesu alikwenda huko marra nyingi pamoja na wanafunzi wake.


illi neno lake Yesu litimizwe, alilolisema, akionyesha ni mauti gani atakayokufa.


Na Pasaka ya Wayahudi ilikuwa karibu: Yesu akapanda hatta Yerusalemi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo