Mathayo 26:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192115 akasema, Nini mtakayonipa, nami nitamsaliti kwenu? Wakampimia vijiande thelathini vya fedha. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 akawaambia, “Mtanipa kitu gani kama nikimkabidhi Yesu kwenu?” Wakamhesabia vipande thelathini vya fedha; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 akawaambia, “Mtanipa kitu gani kama nikimkabidhi Yesu kwenu?” Wakamhesabia vipande thelathini vya fedha; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 akawaambia, “Mtanipa kitu gani kama nikimkabidhi Yesu kwenu?” Wakamhesabia vipande thelathini vya fedha; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 na kuuliza, “Mtanipa nini nikimtia Isa mikononi mwenu?” Wakamlipa vipande thelathini vya fedha. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 na kuuliza, “Mtanipa nini nikimtia Isa mikononi mwenu?” Wakamlipa vipande thelathini vya fedha. Tazama sura |