Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 26:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 akasema, Nini mtakayonipa, nami nitamsaliti kwenu? Wakampimia vijiande thelathini vya fedha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 akawaambia, “Mtanipa kitu gani kama nikimkabidhi Yesu kwenu?” Wakamhesabia vipande thelathini vya fedha;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 akawaambia, “Mtanipa kitu gani kama nikimkabidhi Yesu kwenu?” Wakamhesabia vipande thelathini vya fedha;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 akawaambia, “Mtanipa kitu gani kama nikimkabidhi Yesu kwenu?” Wakamhesabia vipande thelathini vya fedha;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 na kuuliza, “Mtanipa nini nikimtia Isa mikononi mwenu?” Wakamlipa vipande thelathini vya fedha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 na kuuliza, “Mtanipa nini nikimtia Isa mikononi mwenu?” Wakamlipa vipande thelathini vya fedha.

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:15
17 Marejeleo ya Msalaba  

Simon Kananayo, na Yuda Iskariote, ndiye aliyemsaliti.


Tokea wakati huo akawa akitafuta nafasi ajiate kumsaliti.


(Bassi huyu alinunua konde kwa ijara ya ndhalimu; akaanguka kifudifudi akapasuka, matumbo yake yote yakatoka.


si mtu wa kuzoelea mvinyo, si mpigaji, si mtu apendae fedha; bali awe mpole, asiwe mtu wa kujadiliana, asitamani fedha;


Na katika kutamani watajipatia faida kwenu kwa maneno yaliyotungwa: hukumu yao tangu zamani haikawii, wala upotevu wao hausinzii.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo