Mathayo 26:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192114 Kisha mmoja wa wale thenashara, jina lake Yuda Iskariote, alikwenda zake kwa makuhani wakuu, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Kisha, Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na wawili, akaenda kwa makuhani wakuu, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Kisha, Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na wawili, akaenda kwa makuhani wakuu, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Kisha, Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na wawili, akaenda kwa makuhani wakuu, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Kisha mmoja wa wale wanafunzi kumi na wawili, aitwaye Yuda Iskariote, alienda kwa viongozi wa makuhani Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Kisha mmojawapo wa wale kumi na wawili, aitwaye Yuda Iskariote, alikwenda kwa viongozi wa makuhani Tazama sura |