Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 26:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Kwa maana siku zote maskini mnao pamoja nanyi; lakini mimi hamnami siku zote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Maskini mnao daima pamoja nanyi, lakini mimi sitakuwapo pamoja nanyi daima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Maskini mnao daima pamoja nanyi, lakini mimi sitakuwapo pamoja nanyi daima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Maskini mnao daima pamoja nanyi, lakini mimi sitakuwapo pamoja nanyi daima.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Maskini mtakuwa nao siku zote, lakini mimi hamtakuwa nami siku zote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Maskini mtakuwa nao siku zote, lakini mimi hamtakuwa nami siku zote.

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:11
16 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa wawili au watatu walipo wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao.


Yesu akijua akawaambia, Mbona mnamtaabisha mwanamke? Maana ni kazi njema aliyonitendea mimi.


mkiwafundisha kushika yote niliyowaamuru ninyi: nti tazama, mimi nipo pamoja nanyi sikuzote, hatta mwisho wa dunia. Amin.


maana siku zote mnao maskini pamoja nanyi, na killa mpendapo mwaweza kuwatendea mema; lakini mimi hamnami sikuzote.


Maana maskini mnao siku zote pamoja nauyi; bali mimi hamnami siku zote.


Enyi watoto wachanga, bado kitambo kidogo nipo pamoja nanyi; mtanitafuta: na kama nilivyowaambia Wayahudi, ya kama, Mimi niendako ninyi hamwezi kuja: sasa nawaambia na ninyi.


Bado kidogo na ulimwengu haunioni tena; bali ninyi mnaniona; kwa sababu mimi ni hayi, ninyi nanyi mtakuwa hayi.


Nalitoka kwa Baba, nimekuja ulimwenguni; tena nauacha ulimwengu, nashika njia kwenda kwa Baba.


Lakini sasa nakwenda zangu kwake aliyenipeleka, wala hakuna mmoja wenu aniulizae, Unakwenda zako wapi?


Na mimi simo tena ulimwenguni, na hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba mtakatifu, uwalinde kwa jina lako wale ulionipa; wawe moja, kama sisi.


ambae ilimpasa kupokewa mbinguni hatta zije zamani za kufanywa upya vitu vyote, zilizonenwa na Mungu kwa vinywa vya manabii wake tokea mwanzo wa ulimwengu.


illa neno moja walitutakia, tuwakumbuke maskini; na neno lilo hilo nalikuwa na bidii kulifanya.


Lakini mtu akiwa na riziki ya dunia hii, akamwona ndugu yake yu muhitaji, akamzuilia huruma zake, je! huko ndiko kumpenda Mungu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo