Mathayo 26:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192110 Yesu akijua akawaambia, Mbona mnamtaabisha mwanamke? Maana ni kazi njema aliyonitendea mimi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Yesu alitambua mawazo yao, akawaambia, “Mbona mnamsumbua huyu mama? Yeye amenitendea jambo jema. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Yesu alitambua mawazo yao, akawaambia, “Mbona mnamsumbua huyu mama? Yeye amenitendea jambo jema. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Yesu alitambua mawazo yao, akawaambia, “Mbona mnamsumbua huyu mama? Yeye amenitendea jambo jema. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Isa, akijua jambo hili, akawaambia, “Mbona mnamsumbua huyu mwanamke? Yeye amenitendea jambo zuri sana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Isa, akijua jambo hili, akawaambia, “Mbona mnamsumbua huyu mwanamke? Yeye amenitendea jambo zuri sana. Tazama sura |