Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 25:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 Lakini wale wenye busara wakawajibu, wakinena, Labuda hayatatutosha sisi na ninyi; afadhali shikeni njia kwenda kwao wauzao, mkanunue wenyewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Lakini wale wenye busara wakawaambia, ‘Hayatatutosha sisi na nyinyi! Afadhali mwende dukani mkajinunulie wenyewe!’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Lakini wale wenye busara wakawaambia, ‘Hayatatutosha sisi na nyinyi! Afadhali mwende dukani mkajinunulie wenyewe!’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Lakini wale wenye busara wakawaambia, ‘Hayatatutosha sisi na nyinyi! Afadhali mwende dukani mkajinunulie wenyewe!’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 “Lakini wale wenye busara wakawajibu, ‘Sivyo, hayatutoshi sisi na ninyi pia. Afadhali mwende kwa wauzao mkajinunulie mafuta yenu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 “Lakini wale wenye busara wakawajibu, ‘Sivyo, hayatutoshi sisi na ninyi pia. Afadhali mwende kwa wauzao mkajinunulie mafuta yenu.’

Tazama sura Nakili




Mathayo 25:9
12 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni, mimi nawatumeni kama kondoo kati ya mbwa wa mwitu: bassi mwe na busara kama nyoka, na msio na dhara kama hua.


Watano wao walikuwa wenye busara, ua watauo wapumbavu.


Wale wapumbavu wakawaambia wenye busara, Tupeni mafuta yenu kidogo; maana taa zetu zinazimika.


Bassi killa asikiae haya maneno yangu, na kuyafanya, nitamfananisha na mtu mwenye akili aliyejenga nyumba vake juu ya mwamba:


Bassi, tubia uovu wako huu, ukamwombe Bwana illi, kama yumkini, usamebewe fikara lui ya moyo wako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo