Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 25:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Hatta bwana arusi alipokawia, wote wakasinzia wakalala.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Kwa kuwa bwana arusi alikawia kuja, wale wasichana wote walisinzia, wakalala.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Kwa kuwa bwana arusi alikawia kuja, wale wasichana wote walisinzia, wakalala.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Kwa kuwa bwana arusi alikawia kuja, wale wasichana wote walisinzia, wakalala.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Bwana arusi alipokawia kuja wale wanawali wote wakasinzia na kulala.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Bwana arusi alipokawia kuja wale wanawali wote wakasinzia na kulala.

Tazama sura Nakili




Mathayo 25:5
23 Marejeleo ya Msalaba  

Bali mtumishi yule mbaya akisema moyoni mwake, Bwana wangu anakawia;


Baada ya siku nyingi yuaja bwana wa watumishi wale, akafanya hesabu nao.


bali wale wenye busara walitwaa na mafuta katika vyombo vyao pamoja na taa zao.


Hatta usiku wa manane, pakawa na kelele, Haya, bwana arusi anakuja; tokeni kwenda kumlaki.


Kisha akawaendea wale wanafunzi, akawakuta wamelala, akamwambia Petro, Je! hamkuweza kukesha pamoja nami hatta saa moja?


Akaenda, akawakuta wamelala tena; maana macho yao yalikuwa mazito.


Na wale watu walikuwa wakimugojea Zakaria, wakastaajabu kwa kukawia kwake mle hekaluni:


Bali mtumwa yule akisema moyoni mwake, Bwana wangu anakawia kuja; akaanza kuwapiga wajoli wake, wanaume na wanawake, na kula na kulewa;


Walakini Mwana wa Adamu atakapokuja, je! ataiona imani duniani?


Akaanza kuwaambia watu mfano huu: Mtu alipanda mizabibu, akapangisha wakulima, akaenda inchi nyingine kwa muda wa siku nyingi.


Na hayo, tukiujua wakati, kwamba saa ya kuamka katika usingizi imekwisha kuwadia: kwa maana sasa wokofu u karibu yetu kuliko tulipoamini.


Kwa biyo anena, Amka, wewe usinziae, kafufuka, na Kristo atakuangaza.


Erevukeni, kesheni; kwa kuwa mshitaki wenu Shetani, kama simba angurumae, huzungukazunguka, akitafuta mtu amle;


Illa mlicho nacho kishikeni, hatta nitakapokuja.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo