Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 25:42 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

42 kwa maana nalikuwa na njaa, msinipe chakula; nalikuwa na kiu, msininyweshe;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

42 Maana nilikuwa na njaa nanyi hamkunipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi hamkunipa maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

42 Maana nilikuwa na njaa nanyi hamkunipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi hamkunipa maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

42 Maana nilikuwa na njaa nanyi hamkunipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi hamkunipa maji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

42 Kwa maana nilikuwa na njaa nanyi hamkunipa chakula, nilikuwa na kiu nanyi hamkuninywesha,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

42 Kwa maana nilikuwa na njaa hamkunipa chakula, nilikuwa na kiu hamkuninywesha,

Tazama sura Nakili




Mathayo 25:42
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu asiye upande wangu yu kinyume changu; na mtu asivekusanya pamoja nami hutapanya.


kwa maana nalikuwa na njaa, mkanipa chakula; nalikuwa na kiu, mkaninywesha; nalikuwa mgeni, mkanikaribisha;


Kisha atawaambia na wale walio mkono wake wa kushoto, Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, kwenda katika moto wa milele, aliowekewa tayari Shetani na malaika zake:


nalikuwa mgeni, msinikaribishe; nalikuwa uchi, msinivike: nalikuwa mgonjwa, na kifungoni, msije kunitazama.


Akafunga siku arubaini mchana na usiku, baadae akaona njaa.


Aliye na amri zangu, na kuzishika, yeye ndiye anipendae; nae anipendae atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda, na kujidhihirisha kwake.


illi wote wamheshimu Mwana kama wanavyomheshimu Baba. Asiyemheshimu Mwana, hamheshimu Baba aliyempeleka.


Mtu aliye yote asiyempenda Bwana Yesu Kristo, na awe anathema. Maranatha.


katika mwako wa moto, akiwalipa kisasi wao wasiomjua Mungu, nao wasioitii Injili ya Bwana wetu Yesu Kristo;


Mtu akisema, Nampenda Mungu, nae anamchukia ndugu yake, yu mwongo; kwa maana asiyempenda ndugu yake ambae amemwona, hawezi kumpenda Mungu ambae hakumwona.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo