Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 25:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 bali wale wenye busara walitwaa na mafuta katika vyombo vyao pamoja na taa zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Lakini wale wenye busara walichukua mafuta katika chupa pamoja na taa zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Lakini wale wenye busara walichukua mafuta katika chupa pamoja na taa zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Lakini wale wenye busara walichukua mafuta katika chupa pamoja na taa zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 lakini wale wenye busara walichukua taa zao na mafuta ya akiba kwenye vyombo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 lakini wale wenye busara walichukua taa zao na mafuta ya akiba kwenye vyombo.

Tazama sura Nakili




Mathayo 25:4
15 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni, mimi nawatumeni kama kondoo kati ya mbwa wa mwitu: bassi mwe na busara kama nyoka, na msio na dhara kama hua.


Watano wao walikuwa wenye busara, ua watauo wapumbavu.


Wale waliokuwa wapumbavu walizitwaa taa zao, wasitwae na mafuta pamoja nao:


Hatta bwana arusi alipokawia, wote wakasinzia wakalala.


Bassi killa asikiae haya maneno yangu, na kuyafanya, nitamfananisha na mtu mwenye akili aliyejenga nyumba vake juu ya mwamba:


Kwa kuwa yeye aliyetumwa na Mungu huyanena maneno ya Mungu: kwa sababu Mungu hampi Roho kwa kupima.


Lakini ikiwa Roho ya Mungu anakaa ndani yenu, ninyi hamfuati mambo ya mwili, bali mambo ya roho. Lakini mtu aliye yote asipokuwa na Roho ya Kristo, huyo si mtu wake.


nae ndiye aliyetutia muhuri akatupa arabuni ya Roho mioyoni mwetu.


Na ninyi mmepakwa mafuta nae aliye Mtakatifu na mnajua yote.


Na ninyi, mafuta, yale mliyoyapata kwake yanakaa ndani yenu, nanyi hamna haja ya mtu kuwafundisha; lakini kama yale mafuta yanavyokufundisheni khabari za mambo yote, tena ni kweli wala si uwongo, na kama yalivyokufundisheni, mnakaa ndani yake.


Watu hawo ndio wajitengao, watu wa dunia hii tu, wasio na Roho.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo