Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 25:37 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

37 Ndipo wenye haki watakaponijibu, wakinena, Bwana, lini tulipokuona una njaa, tukakulisha, au una kiu tukakunywesha?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Hapo, hao watu wema watamjibu mfalme ‘Bwana, ni lini tulikuona mwenye njaa nasi tukakupa chakula, au ukiwa na kiu nasi tukakunywesha maji?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Hapo, hao watu wema watamjibu mfalme ‘Bwana, ni lini tulikuona mwenye njaa nasi tukakupa chakula, au ukiwa na kiu nasi tukakunywesha maji?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Hapo, hao watu wema watamjibu mfalme ‘Bwana, ni lini tulikuona mwenye njaa nasi tukakupa chakula, au ukiwa na kiu nasi tukakunywesha maji?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 “Ndipo wale wenye haki watakapomjibu, ‘Bwana, ni lini tulikuona ukiwa na njaa tukakulisha, au ukiwa na kiu tukakunywesha?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 “Ndipo wale wenye haki watakapomjibu, ‘Bwana, ni lini tulikuona ukiwa na njaa tukakulisha, au ukiwa na kiu tukakunywesha?

Tazama sura Nakili




Mathayo 25:37
9 Marejeleo ya Msalaba  

nalikuwa uchi, mkanivika; nalikuwa mgonjwa, mkaja kunitazama; nalikuwa kifungoni, mkanijia.


Lini tulipokuona u mgeni, tukakukaribisha, au u uchi, tukakuvika?


Wa kheri wenye njaa na kiu ya haki: maana hawo watashiba.


Bali wewe utoapo sadaka, hatta mkono wako wa kushoto usijue mkono wako wa kuume ufanyalo;


Lakini kwa neema ya Mungu nimekuwa nilivyo; na neema yake iliyo kwangu ilikuwa si burre, bali nalizidi sana kushika kazi kupita wao wote; wala si mimi, bali neema ya Mungu pamoja nami.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo