Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 25:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Wale waliokuwa wapumbavu walizitwaa taa zao, wasitwae na mafuta pamoja nao:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Wale wapumbavu walichukua taa zao, lakini hawakuchukua akiba ya mafuta.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Wale wapumbavu walichukua taa zao, lakini hawakuchukua akiba ya mafuta.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Wale wapumbavu walichukua taa zao, lakini hawakuchukua akiba ya mafuta.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Wale wapumbavu walichukua taa zao lakini hawakuchukua mafuta ya akiba,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Wale wapumbavu walichukua taa zao lakini hawakuchukua mafuta ya akiba,

Tazama sura Nakili




Mathayo 25:3
12 Marejeleo ya Msalaba  

NDIPO ufalme wa mbinguni utakapofanana na wanawali kumi, waliotwaa taa zao, wakatoka kwenda kumlaki bwana arusi.


Watano wao walikuwa wenye busara, ua watauo wapumbavu.


bali wale wenye busara walitwaa na mafuta katika vyombo vyao pamoja na taa zao.


wenye mfano wa utawa, lakini wakikana nguvu zake; ujiepushe na hao.


mkiangalia sana mtu asiipungukie neema ya Mungu; shina la uchungu lisije likachipuka na kuwasumbua watu wengi, wakatiwe najis kwa hilo.


NA kwa malaika wa kanisa lililo katika Sardi, andika; Haya ayanena yeye aliye nazo roho saba za Mungu na zile nyota saba: Najua matendo yako, ya kuwa una jina la kuwa hayi, nawe umekufa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo