Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 25:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Watano wao walikuwa wenye busara, ua watauo wapumbavu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Watano miongoni mwao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Watano miongoni mwao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Watano miongoni mwao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Watano wao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Watano wao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.

Tazama sura Nakili




Mathayo 25:2
14 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni, mimi nawatumeni kama kondoo kati ya mbwa wa mwitu: bassi mwe na busara kama nyoka, na msio na dhara kama hua.


Nani bassi aliye mtumishi yule amini mwenye haki, ambae bwana wake alimweka juu ya nyumba yake, awape chakula kwa saa yake?


Wale waliokuwa wapumbavu walizitwaa taa zao, wasitwae na mafuta pamoja nao:


bali wale wenye busara walitwaa na mafuta katika vyombo vyao pamoja na taa zao.


Lakini wale wenye busara wakawajibu, wakinena, Labuda hayatatutosha sisi na ninyi; afadhali shikeni njia kwenda kwao wauzao, mkanunue wenyewe.


Walitoka kwetu, bali hawukuwa wa kwetu. Maana kama wangalikuwa wa kwetu, wangalikaa pamoja nasi. Lakini walitoka illi wafunuliwe kwamba si wote walio wa kwetu.


Tena napenda kuwakumbusha, ijapo mmekwisha kujua haya yote, ya kwamba Bwana, baada ya kuwaokoa watu katika inchi ya Misri, aliwaharibu wasioamini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo