Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 25:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Bali yule aliyepokea moja, alikwenda akafukua chini, akaiticha fedha ya bwana wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Lakini yule aliyekabidhiwa fedha talanta moja akaenda, akachimba shimo ardhini, akaificha fedha ya bwana wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Lakini yule aliyekabidhiwa fedha talanta moja akaenda, akachimba shimo ardhini, akaificha fedha ya bwana wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Lakini yule aliyekabidhiwa fedha talanta moja akaenda, akachimba shimo ardhini, akaificha fedha ya bwana wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Lakini yule mtumishi aliyekuwa amepokea talanta moja, alienda akachimba shimo ardhini na kuificha ile talanta ya bwana wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Lakini yule mtumishi aliyekuwa amepokea talanta moja, alikwenda akachimba shimo ardhini na kuificha ile fedha ya bwana wake.

Tazama sura Nakili




Mathayo 25:18
9 Marejeleo ya Msalaba  

Vilevile na yule mwenye mbili, yeye nae akachuma nyingine mbili faida.


Baada ya siku nyingi yuaja bwana wa watumishi wale, akafanya hesabu nao.


Akaja mwingine akasema, Bwana, tazama, mane yako hii niliyokuwa nayo, imewekwa akiba katika leso:


illi msiwe wavivu, hali wafuasi wa hao wazirithio ahadi kwa imaui na uvumilivu.


Maana mambo hayo yakiwa kwenu na kujaa tele, yawafanya ninyi kuwa si wavivu wala si watu wasio na matunda, kwa kumjua Bwana wetu Yesu Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo