Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 25:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

16 Bassi yule aliyepokea talanta tano akashika njia, akafanya kazi nazo, akachuma talanta nyingine tano.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Mara yule aliyekabidhiwa fedha talanta tano akafanya kazi nazo akapata faida talanta tano.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Mara yule aliyekabidhiwa fedha talanta tano akafanya kazi nazo akapata faida talanta tano.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Mara yule aliyekabidhiwa fedha talanta tano akafanya kazi nazo akapata faida talanta tano.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Yule aliyepewa talanta tano akaenda mara moja akafanya nazo biashara akapata talanta nyingine tano zaidi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Yule aliyepewa talanta tano akaenda mara moja akafanya nazo biashara akapata talanta nyingine tano zaidi.

Tazama sura Nakili




Mathayo 25:16
27 Marejeleo ya Msalaba  

Alipoanza kuifanya, akaletewa mtu mmoja awiwae nae talanta elfu kumi.


Vilevile na yule mwenye mbili, yeye nae akachuma nyingine mbili faida.


Akawaita watu kumi katika watumishi wake, akawapa mane za fedha kumi, akawaambia, Fanyeni biashara hatta nitakaporudi.


Kwa maana Daud, akiisha kulitumikia shauri la Mungu katika kizazi chake, alilala, akawekwa pamoja na baba zake, akaona uharibifu.


Lakini kwa neema ya Mungu nimekuwa nilivyo; na neema yake iliyo kwangu ilikuwa si burre, bali nalizidi sana kushika kazi kupita wao wote; wala si mimi, bali neema ya Mungu pamoja nami.


Yampasa mkulima mwenye taabu ya kazi kuwa wa kwanza wa kuyashiriki matunda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo