Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 25:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Bassi kesheni, maana hamwijui siku wala saa ajapo Mwana wa Adamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Kisha Yesu akasema, “Kesheni basi, kwa maana hamjui siku wala saa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Kisha Yesu akasema, “Kesheni basi, kwa maana hamjui siku wala saa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Kisha Yesu akasema, “Kesheni basi, kwa maana hamjui siku wala saa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 “Kwa hiyo kesheni, kwa sababu hamjui siku wala saa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 “Kwa hiyo kesheni, kwa sababu hamjui siku wala saa.

Tazama sura Nakili




Mathayo 25:13
12 Marejeleo ya Msalaba  

bwana wa mtumishi yule atakuja siku asiyotazamia, na saa asiyotambua,


Akajibu, akasema, Amin, nawaambieni, siwajui ninyi.


Kwa hiyo kesheni killa wakati, mkiomba mpate kuhesabiwa kuwa mmestahili kuponea haya yote yatakayokuwa, na kusimama mahali penu mbele ya Mwana wa Adamu.


Kwa biyo kesheni, mkikumbuka kama miaka mitatu, usiku na mchana, sikuacha kumwonya killa mtu kwa machozi.


Kesheni, simameni imara katika Imani, mwe waume, mwe hodari.


Bassi tusilale kama wengine, bali tukeshe, na kuwa na kiasi.


Bali wewe erevuka katika yote, vumilia mabaya, fanya kazi ya mwinjilisti, timiliza khuduma yako.


Mwisho wa mamho yote umekaribia; bassi, mwe na akili, mkakeshe katika sala:


Erevukeni, kesheni; kwa kuwa mshitaki wenu Shetani, kama simba angurumae, huzungukazunguka, akitafuta mtu amle;


Tazama, naja kama mwizi. Yu kheri akeshae, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi wakaone aibu yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo