Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 25:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Akajibu, akasema, Amin, nawaambieni, siwajui ninyi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Lakini yeye akawajibu, ‘Nawaambieni kweli, siwajui nyinyi.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Lakini yeye akawajibu, ‘Nawaambieni kweli, siwajui nyinyi.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Lakini yeye akawajibu, ‘Nawaambieni kweli, siwajui nyinyi.’”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 “Lakini yeye bwana arusi akawajibu, ‘Amin, amin nawaambia, siwajui ninyi!’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 “Lakini yeye bwana arusi akawajibu, ‘Amin, amin nawaambia, siwajui ninyi!’

Tazama sura Nakili




Mathayo 25:12
12 Marejeleo ya Msalaba  

Khalafu wakaja na wale wanawali wengine, wakinena, Bwana, Bwana, utufungulie.


Bassi kesheni, maana hamwijui siku wala saa ajapo Mwana wa Adamu.


Tokea wakati ule atakapoondoka mwenye nyumba na kuufunga mlango, nanyi mkaanza kusimama nje na kuubisha mlango, mkinena, Bwana, Bwana! utufungulie; nae akajibu, akawaambieni, Siwajui mtokako;


Kondoo zangu waisikia sauti yangu, nami nawajua, nao wanifuata;


Twajua ya kuwa Mungu hawasikii wenye dhambi: bali mtu akiwa mcha Mungu, na kufanya mapenzi yake, huyo amsikia.


Lakini mtu akimpenda Mungu, huyo amejuliwa nae.


Bali sasa, mkiisha kumjua Mungu, ya nini kurejea tena kwa mafundisho ya kwanza yaliyo manyonge na yenye upungufu ambayo mnataka kuyatumikia tena.


Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, wenye muhuri hii, Bwana awajua walio wake; tena, killa alilajae jina la Bwana na aache uovu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo