Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 25:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Khalafu wakaja na wale wanawali wengine, wakinena, Bwana, Bwana, utufungulie.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Baadaye wale wasichana wengine wakaja, wakaita: ‘Bwana, Bwana, tufungulie!’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Baadaye wale wasichana wengine wakaja, wakaita: ‘Bwana, Bwana, tufungulie!’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Baadaye wale wasichana wengine wakaja, wakaita: ‘Bwana, Bwana, tufungulie!’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 “Baadaye wale wanawali wengine nao wakaja, wakaita, ‘Bwana! Bwana! Tufungulie mlango!’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 “Baadaye wale wanawali wengine nao wakaja, wakaita, ‘Bwana! Bwana! Tufungulie mlango!’

Tazama sura Nakili




Mathayo 25:11
5 Marejeleo ya Msalaba  

NDIPO ufalme wa mbinguni utakapofanana na wanawali kumi, waliotwaa taa zao, wakatoka kwenda kumlaki bwana arusi.


Akajibu, akasema, Amin, nawaambieni, siwajui ninyi.


Tokea wakati ule atakapoondoka mwenye nyumba na kuufunga mlango, nanyi mkaanza kusimama nje na kuubisha mlango, mkinena, Bwana, Bwana! utufungulie; nae akajibu, akawaambieni, Siwajui mtokako;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo