Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 24:49 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

49 nae akianza kuwapiga wajoli wake, na kula na kunywa pamoja na walevi:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

49 kisha akaanza kuwapiga watumishi wenzake, akaanza kula na kunywa pamoja na walevi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

49 kisha akaanza kuwapiga watumishi wenzake, akaanza kula na kunywa pamoja na walevi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

49 kisha akaanza kuwapiga watumishi wenzake, akaanza kula na kunywa pamoja na walevi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

49 kisha akaanza kuwapiga watumishi wenzake, na kula na kunywa pamoja na walevi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

49 kisha akaanza kuwapiga watumishi wenzake, na kula na kunywa pamoja na walevi.

Tazama sura Nakili




Mathayo 24:49
23 Marejeleo ya Msalaba  

Mtumishi yule akatoka, akamwona mmoja wa wajoli wake, aliyewiwa nae dinari mia; akamkamata, akamshika koo, akinena, Nilipe uwiwacho.


Bali mtumishi yule mbaya akisema moyoni mwake, Bwana wangu anakawia;


bwana wa mtumishi yule atakuja siku asiyotazamia, na saa asiyotambua,


Jihadharini na manabii wa uwongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa wa mwitu wakali.


akamwambia, Killa mtu kwanza huandaa divai iliyo njema, hatta watu wakiisha kunywa sana, ndipo huleta iliyo dhaifu: wewe umeweka divai iliyo njema hatta sasa.


Kwa sababu bao ndio wasiomtumikia Bwana wetu Kristo, bali matumbo yao wenyewe; na kwa maneno laini na ya kujipendekeza waidanganya mioyo ya watu wasio wabaya.


Maana mwavumilia na mtu akiwatieni utumwani, akiwameza, akiwateka, akijikuza, akiwapiga usoni.


mwisho wao uharibifu, mungu wao tumbo, utukufu wao u katika aibu yao, waniao mambo ya duniani.


wala si kama wajifanyao mabwana juu ya mitaa yao, bali kwa kujifanya mfano kwa lile kundi.


Watu hawa ni miamba yenye khatari katika karamu zenu za upendo wafanyapo karamu pamoja nanyi, wakijilisha pasipo khofu; ni mawingu yasiyo na maji, yachukuliwayo na upepo; ni miti iliyopukutika, isiyo na matunda, iliyokufa marra mbili, na kungʼolewa kabisa;


Akapewa kufanya vita na watakatifu na kuwashinda, akapewa uwezo juu ya killa kabila na lugba na taifa.


kwa kuwa walimwaga damu ya watakatifu na manabii, nawe umewapa damu, wainywe; nao wamestahili.


Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu. Nami nilipomwona nikastaajabu ajabu kuu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo