Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 24:47 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

47 Amin, nawaambieni, atamweka juu ya mali zake zote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

47 Kweli nawaambieni, atamweka mtumishi huyo aisimamie mali yake yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

47 Kweli nawaambieni, atamweka mtumishi huyo aisimamie mali yake yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

47 Kweli nawaambieni, atamweka mtumishi huyo aisimamie mali yake yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

47 Amin, nawaambia, atamweka mtumishi huyo kuwa msimamizi wa mali yake yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

47 Amin, nawaambia, atamweka mtumishi huyo kuwa msimamizi wa mali yake yote.

Tazama sura Nakili




Mathayo 24:47
15 Marejeleo ya Msalaba  

Yu kheri mtumishi yule, ambae bwana wake ajapo atamkuta akifanya hivi.


Bali mtumishi yule mbaya akisema moyoni mwake, Bwana wangu anakawia;


Bwana wake akamwambia, Vema, mtumishi mwema, na amini: ulikuwa amini kwa machache, nitakuweka juu ya mengi: ingia katika furaha ya bwana wako.


Bwana wake akamwambia, Vema, mtumishi mwema na amini: ulikuwa amini kwa machache, nitakuweka juu ya mengi: ingia katika furaha ya bwana wako.


Wa kheri watumishi wale ambao bwana wao ajapo atawakuta wanakesba. Amin, nawaambieni, atajifunga, atawaketisha, atakuja kuwakhudumia.


Amin, nawaambieni, atamweka juu ya mali zake zote.


Akasema, Vema, mtumishi mwema, kwa sababu umekuwa mwaminifu kwa kitu kilicho kidogo, bassi, uwe na mamlaka juu ya miji kumi.


Mtu akinitumikia, anifuate: nami nilipo, ndipo na mtumishi wangu atakapokuwapo; tena mtu akinitumikia, Baba atamheshimu.


kama tukistahimili, tutamiliki pamoja nae pia; kama tukimkana yeye, yeye nae atatukana sisi:


Na mchungaji mkuu atakapodhihirishwa, mtaipokea taji ya utukufu, ile isiyokauka.


Yeye ashindae atayarithi haya, nami nitakuwa Mungu wake, nae atakuwa Mwana wangu.


Yeye asbindae, nitampa kuketi pamoja nami katika kiti changu cha enzi, kama mimi nilivyoshinda, nikaketi pamoja na Baba yangu katika kiti chake cha enzi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo