Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 24:46 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

46 Yu kheri mtumishi yule, ambae bwana wake ajapo atamkuta akifanya hivi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

46 Heri mtumishi yule ambaye bwana wake atakapokuja atamkuta akifanya hivyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

46 Heri mtumishi yule ambaye bwana wake atakapokuja atamkuta akifanya hivyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

46 Heri mtumishi yule ambaye bwana wake atakapokuja atamkuta akifanya hivyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

46 Heri mtumishi yule ambaye bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

46 Heri mtumishi yule ambaye bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.

Tazama sura Nakili




Mathayo 24:46
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nani bassi aliye mtumishi yule amini mwenye haki, ambae bwana wake alimweka juu ya nyumba yake, awape chakula kwa saa yake?


Amin, nawaambieni, atamweka juu ya mali zake zote.


Kisha Mfalme atawaambia wale walio mkono wake wa kuume, Njoni, mliobarikiwa wa Baba yangu, urithini ufalme mliowekewa tangu kuumbwa ulimwengu:


Wa kheri watumishi wale ambao bwana wao ajapo atawakuta wanakesba. Amin, nawaambieni, atajifunga, atawaketisha, atakuja kuwakhudumia.


Yu kheri mtumishi yule ambae bwana wake ajapo atamkuta amefanya hivyo.


Tazama, naja kama mwizi. Yu kheri akeshae, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi wakaone aibu yake.


Najua matendo yako na upendo wako na khuduma yako na uaminifu wako na uvumilivu wako na matendo yako; tena matendo yako ya mwisho yamezidi yale ya kwanza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo