Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 24:43 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

43 Lakini fahamuni neno hili; kama mwenye nyumba angalijua ile zamu mwivi atakayokuja, angalikesha, wala asingaliacha nyumba yake kuvunjwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

43 Lakini kumbukeni jambo hili: Kama mwenye nyumba angejua siku mwizi atakapofika, angekesha, wala hangeiacha nyumba yake ivunjwe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

43 Lakini kumbukeni jambo hili: Kama mwenye nyumba angejua siku mwizi atakapofika, angekesha, wala hangeiacha nyumba yake ivunjwe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

43 Lakini kumbukeni jambo hili: kama mwenye nyumba angejua siku mwizi atakapofika, angekesha, wala hangeiacha nyumba yake ivunjwe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

43 Lakini fahamuni jambo hili: Kama mwenye nyumba angejua ni wakati gani wa usiku ambao mwizi atakuja, angekesha na hangekubali nyumba yake kuvunjwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

43 Lakini fahamuni jambo hili: Kama mwenye nyumba angejua ni wakati gani wa usiku ambao mwizi atakuja, angekesha na hangekubali nyumba yake kuvunjwa.

Tazama sura Nakili




Mathayo 24:43
18 Marejeleo ya Msalaba  

Hatta zamu ya nne ya usiku Yesu akawaendea, akitembea juu ya bahari.


Wakiisha kupokea, wakamnungʼunikia mwenye nyumba,


Kesheni bassi: kwa maana hamwijui saa atakayokuja Bwana wenu.


Kwa sababu hii na ninyi mwe tayari; kwa sababu saa msiyodhani Mwana wa Adamu yuaja.


Nao walipokuwa wakienda kununua, bwana arusi akaja, nao waliokuwa tayari wakaingia pamoja nae arusini: mlango ukafungwa.


Bassi kesheni, maana hamwijui siku wala saa ajapo Mwana wa Adamu.


Kesheni bassi, kwa maana hamjui ajapo bwana wa nyumba, kwamba ni jioni, au usiku wa manane, au awikapo jogoo, an assubuhi:


Akawaona wakitaahika kwa kuvuta makasia, kwa maana upepo ulikuwa wa mbisho; hatta yapata zamu ya nne ya usiku akawaendea akitemhea juu ya bahari; akataka kuwdpita.


Na akija kesha la pili au akija kesha la tatu, na kuwakuta hivi, wa kheri watumishi wale.


Lakini jueni haya ya kuwa mwenye nyumba angaliijua saa atakayokuja mwizi, angalikesha asiache nyumba yake kuvunjwa.


Kwa hiyo kesheni killa wakati, mkiomba mpate kuhesabiwa kuwa mmestahili kuponea haya yote yatakayokuwa, na kusimama mahali penu mbele ya Mwana wa Adamu.


Tazama, naja kama mwizi. Yu kheri akeshae, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi wakaone aibu yake.


Bassi kumbuka jinsi ulivyopokea, na jinsi ulivyosikia; yashike hayo na kutubu. Illakini usipokesha nitakuja kwako kama mwizi, nawe hutaijua saa nitakayokuja kwako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo