Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 24:42 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

42 Kesheni bassi: kwa maana hamwijui saa atakayokuja Bwana wenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

42 Basi, kesheni, kwa maana hamjui siku atakayokuja Bwana wenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

42 Basi, kesheni, kwa maana hamjui siku atakayokuja Bwana wenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

42 Basi, kesheni, kwa maana hamjui siku atakayokuja Bwana wenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

42 “Basi kesheni, kwa sababu hamjui ni siku gani atakapokuja Bwana wenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

42 “Basi kesheni, kwa sababu hamjui ni siku gani atakapokuja Bwana Mungu wenu.

Tazama sura Nakili




Mathayo 24:42
17 Marejeleo ya Msalaba  

Na khabari ya siku ile na saa ile hakuna ajuae, hatta malaika walio mbinguni, illa, Baba yangu peke yake.


Lakini fahamuni neno hili; kama mwenye nyumba angalijua ile zamu mwivi atakayokuja, angalikesha, wala asingaliacha nyumba yake kuvunjwa.


Kwa sababu hii na ninyi mwe tayari; kwa sababu saa msiyodhani Mwana wa Adamu yuaja.


Nao walipokuwa wakienda kununua, bwana arusi akaja, nao waliokuwa tayari wakaingia pamoja nae arusini: mlango ukafungwa.


Bassi kesheni, maana hamwijui siku wala saa ajapo Mwana wa Adamu.


Bassi, jiangalieni, mioyo yenu isije ikalemewa na ulafi na ulevi, na masumbufu ya maisha haya,


Kwa hiyo kesheni killa wakati, mkiomba mpate kuhesabiwa kuwa mmestahili kuponea haya yote yatakayokuwa, na kusimama mahali penu mbele ya Mwana wa Adamu.


Na hayo, tukiujua wakati, kwamba saa ya kuamka katika usingizi imekwisha kuwadia: kwa maana sasa wokofu u karibu yetu kuliko tulipoamini.


Kesheni, simameni imara katika Imani, mwe waume, mwe hodari.


Bassi tusilale kama wengine, bali tukeshe, na kuwa na kiasi.


Mwisho wa mamho yote umekaribia; bassi, mwe na akili, mkakeshe katika sala:


Erevukeni, kesheni; kwa kuwa mshitaki wenu Shetani, kama simba angurumae, huzungukazunguka, akitafuta mtu amle;


Tazama, naja kama mwizi. Yu kheri akeshae, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi wakaone aibu yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo